Pages

Thursday, 9 May 2013

Leo katika kipindi cha mambo mambo na RFA

 Swali ni Je? Ikiwa serikali ikakataza matumizi ya nywele bandia "wigi" kwa akina dada, muonekao kwao utakuaje
Maoni/Majibu yako katika chart box yetu hapo kulia watu wetu karibuni sana...
Unachotakiwa kufanya ni kuandika email yako na jina lako, kisha andika message yako au maoni.

No comments:

Post a Comment